Yanga yapata kocha mpya
Ernstus Wilhelmus Johannes Brandts amesaini mkataba wa kuifundisha timu ya soka ya Klabu ya michezo ya Yanga (Dar-es-salaam Young Africans) ama anavyoonekana pichani.Makamu mwenyekiti Clement Sanga akielekeza jambo kuhakikisha mambo yanafanyika kwa mujibu wa taratibu.Ni Kocha wa pili kwa Yanga msimu huu na sijui kama atakaa.
No comments:
Post a Comment