Kwa kweli hutaki kuwakosa wababe hawa wakigombea ubingwa wa dunia wa middleweight ambapo Chavez jr ni WBC middleweight champion na Martinez ni WBC Diamond middleweight champion.Ni pambano linalosubiriwa kwa hamu na litaanza saa 10 alfajiri kwa saa za Afrika Mashariki wakati kule Marekani itakuwa jioni saa 3 ya Jumamosi tarehe 15.Pengine nitarusha link ya hili pambano tukae mkao wa kula.
No comments:
Post a Comment