Monday, September 17, 2012

Bologna wawashangaza Roma dakika za majeruhi

Roma wakijua wamefanikiwa kushinda nyumbani kwao Stadio Olimpico baada ya kuongoza kwa goli 2-0 katika dakika 16 (Alessandro Florenzi na Erik Lamella)  za mwanzo za mchezo walishuhudia wapinzania wao katika ligi kuu ya Italia Serie A Bologna wakishangilia ushindi wao wa kwanza na pointi zao za kwanza msimu huu baada ya kujipatia ushindi ndani ya dakika 18 za mwisho za mchezo.Magoli ya Bologna yalifungwa na Alberto Gilardino (72',90') na Alessandro Diamanti (73').
Katika mechi zingine za Serie A matokeo yalikua.

Chievo        1 - 3     Lazio
Fiorentina    2 - 0     Catania
Genoa         1 - 3     Juventus
Milan           0 - 1    Atalanta
Napoli         3 - 1    Parma
Palermo       1 - 1    Cagliari
Pescara        2 - 3   Sampdoria
Siena            2 - 2   Udinese
Torino          0 - 2    Inter

No comments:

Post a Comment