Friday, September 14, 2012

QPR vs Chelsea kupeana mikono kama kawaida

Kutakua na kupeana mikono kati ya wachezaji wa timu hizi mbili kesho katika mechi yao inayotazamiwa kuanza saa 11 jioni kwa saa za Afrika mashariki.Ikumbukwe kuna ugomvi mkubwa baina ya mabeki wa timu hizi mbili Anton Ferdinand na John Terry ambapo Terry anatuhumiwa kutumia lugha ya kibaguzi wakati timu hizo zilipopambana msimu uliopita.Je watachuniana?Maana wote wapo fiti kwa mechi hapo kesho na wana nafasi kubwa ya kucheza.

No comments:

Post a Comment