Tuesday, September 11, 2012

Simba SC yabeba kombe la hisani

Simba ya Dar-es-salaam ambao ni mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom hapo jana imeanza msimu mpya kwa kunyakua kikombee cha kwanza cha msimu ilipoifunga Azam FC aliyekuwa mshindi wa pili katika mechi ya kombe la hisani inayoashiria kuanza kwa msimu mpya wa ligi kuu Tanzania Bara ya Vodacom.Simba ilishinda magoli 3-2 dhidi ya wanalambalamba na kukataa uteja.

No comments:

Post a Comment