Sunday, September 16, 2012

Arsene Wenger atangazwa kocha mpya Arsenal-Miaka 16 iliyopita

Miaka 16 iliyopita tarehe kama ya leo alitangazwa rasmi kama kocha wa timu ya Arsenal akitokea katika ligi ya Japan yaani J-league na waandishi wengi wa habari wa Uingereza kumbeza wakidai ametoka kwenye ligi dhaifu na isiyojulikana na kwamba yeye mwenyewe hakua akijulikana.Amekua kocha wa pili kwa mafanikio Uingereza katika kipindi chote hicho huku akiwa na pesa finyu za kufanya mabadiliko katika timu.

No comments:

Post a Comment