Sunday, September 9, 2012

Lewis Hamilton mshindi pale Monza(Italian GP)

Lewis Hamilton raia wa Uingereza na dereva wa McLaren masaa machache yaliyopita ameionyesha dunia uwezo wake mkubwa baada ya kuongoza Formula 1 Italian Grand Prix kuanzia mwanzo hadi mwisho wa mashindano na kushinda mashindano hayo akipanda mpaka nafasi ya 2 katika kuwania ubingwa wa dunia mwaka huu akiwa nyuma ya Fernando Alonso ambaye ni Raia wa Hispania na dereva wa Ferari kwa pointi 37 tu.Alonso alimaliza wa tatu katika mashindano hayo.

No comments:

Post a Comment