Santiago Carzola.Mchezaji mpya wa Arsenal ametokea kuwa usajili mzuri akionyesha mchezo mzuri katika mechi yake ya kwanza kwa timu hiyo dhidi ya Sunderland.Sunderland ambao walichukua pointi 4 msimu uliopita toka kwa walioishia kuwa mabingwa wa ligi ya Uingereza msumu uliopita Manchester City walijipanga vilivyo katika ulinzi dhidi ya madhara ya washambuliaji wa Arsenal.
No comments:
Post a Comment