Thursday, August 23, 2012

BARCELONA vs REAL MADRID IN THE SPANISH SUPERCUP TONIGHT

Leo saa tano na nusu usiku kwa saa za Afrika Mashariki miamba miwili ya soka ya Hispania itakuwa inaonyeshana ubabe katika kugombea Spanish Supercup ambapo mechi ya kwanza itachezwa nyumbani kwa Barcelona na mechi ya marudiano siku ya jumatano tarehe 29/08/2012 itakua kule Santiago Bernabeu.
Nimeonelea niwakumbushe tu ndugu zangu na pengine nitaweka link ya kuwasaidia kuwatch game kwenye net baadae MUNGU akitujalia uzima na wasaa.

No comments:

Post a Comment