Monday, August 20, 2012

NBA

Habari toka Marekani ni kwamba kocha aliyepokea timu ya New Orleans Hornets wakati ikiwa kwenye wakati mgumu msimu uliopita akiiwezesha kucheza kwenye hatua ya mtoan(playoffs) katika msimu wake wa kwanza kama kocha mkuu wa timu Monty Williams ameongezewa mkataba ambapo atakuwa na Hornets kwa miaka minne mkataba wake ukiishia msimu wa 2015-2016.

No comments:

Post a Comment