Wednesday, August 22, 2012

DANNY WELBECK ARIDHIA MKATABA MPYA MAN UTD

Mtandao wa Manchester United umethibitisha hivi punde kwamba Danny Welbeck ameridhia kwa maandishi mkataba mpya ambao utamuweka klabuni hapo kwa miaka minne ijayo.Hii inakuja kipindi ambapo timu hiyo ya upande mwekundu wa Manchester imemsajili Robin Van Persie toka Arsenal na pia ikisemekana kumfukuzia mshambuliaji Angelo Henrique toka Chile.Hii inaonyesha kujiamini kwa mshambuliaji huyo(Welbeck) hasa ukichukulia timu hiyo ina washambuliaji wengi wazuri na inatoa options nyingi zaidi kwenye ushambuliaji kwa timu hii ya Machester yenye vikombe 19 vya ligi  ya EPL.

No comments:

Post a Comment