Saturday, August 25, 2012

Ligi kuu ya Soka Italia yaanza

Ligi kuu ya Italia imeanza wiki hii huku ikigubikwa na utata baada ya ushindi wa mabingwa watetezi Juventus kuanza kwa kuifunga Parma huku magoli yote mawili yakiwa na utata baada ya la Andrea Pirlo kusemekana halikuvuka mstari pamoja na kukubaliwa na refa.Mie sitaki kubisha wala kukabali.

No comments:

Post a Comment