Hatimaye Real Madrid wameshinda Spanish Super Cup kikiwa ni kikombe cha kwanza mzimu huu huko Hispania.Hiyo ilikuwa ni baada ya kushinda mchezo wa marudiano Santiago Bernabeu kwa magoli 2-1.Mchezo wa kwanza uliochezwa Nou Camp uliisha kwa matokeo ya 3-2 na hivyo Madrid inashinda kombe hilo kwa kufunga magoli mengi ya ugenini.Pongezi nyingi kwa Real Madrid
No comments:
Post a Comment