Saturday, October 6, 2012

Theo Walcott kusign mkataba mpya na Arsenal

Theo Walcott ameongelea kuongeza mkataba na Klabu ya Arsenal akisubiria kwa hamu mazungumzo ya mwisho na kusign mkataba mpya wa miaka mitatu ndani ya wiki mbili zijazo na ameelezea kutamani sana kurudi kwenye mipango ya kudumu ya klabu hiyo.Haya yamekuja huku Arsene Wenger akielezea uamuzi wa kumchezesha kuanzia sasa winga huyo mwenye kasi ya ajabu kama mshambuliaji wa kati nafasi anayoipenda sana na inayochezwa na nyota aliyemfanya mchezaji huyo kutua Highbury akitokea Southampton ambaye anasumbua katika ligi ya Marekani Thierry Henry.

No comments:

Post a Comment