Gervinho akifanya vitu vyake hapo jana dhidi ya Olympiacos katika uwanja wa Emirates ambapo Arsenal lishinda 3-1.
Group A
Porto 1 - 0 PSG
(James Rodriguez 83')
Dynamo Kyiv 2 - 0 Dinamo Zagreb
Gusev 3'
Pivaric 33'(o.g)
Group B
Arsenal 3 - 1 Olympiacos
Gervinho 42' Mitroglou 45+1
Podolski 56'
Ramsey 90+4
Schalke 2 - 2 Montpellier
Draxler 26 Ait-Fana 13
Huntelaar 53 P Camara 90
Group C
Zenit 2 - 3 AC Milan
Hulk 45+2 Emanuelson 13
Shirokov 49 El Shaarawy 16
Hubocan 75 (og)
Anderlecht 0 - 3 Malaga
Eliseu 45+1,64
Joaquin 57
Group D
Man City 1 - 1 Dortmund
Balotelli 90 P Reus 61
Ajax 1 - 4 Real Madrid
Moisander 56 Cristiano Ronaldo 42,79,81
Benzema 48
Timu zilizotumia pesa nyingi hazikufanya vizuri,wakongwa wameendelea kusumbua Milan ikirudi kwenye ramani baada ya kuanza vibaya Serie A na pia Cristiano Ronaldo anakua mchezaji wa kwanza kufunga Hat Trick kwenye mashindano ya ulaya dhidi ya Ajax kwenye uwanja wao wa nyumbani wa Amstedam Arena.
No comments:
Post a Comment