Saturday, March 9, 2013

Marakana yafurika

Pichani juu mojawapo ya viwanja vitakavyotumika katika Kombe la Dunia Brazil mwakani ukiwa umefurika maji baada ya mvua kubwa zinazoendelea Brazil.Uwanja huu unatazamiwa kutumiwa kwenye mechi ya kirafiki Juni 2 kati ya Brazil na Uingereza.Umewahi kusemwa kuwa uwanja mkubwa zaidi duniani na kwa sasa unafanyiwa ukarabati ambapo paa limeezuliwa upande mmoja,viti viliondolewa na sasa umebainika una tatizo la kufurika maji hii ikiwa mara ya pili hili kurokea.Ni changamoto kubwa kwa maandalizi ya kombe la dunia mwakani ambapo ulitazamiwa kutumika kwenye ufunguzi na mechi ya mwisho/fainali ya mashindano

No comments:

Post a Comment