Sunday, November 11, 2012

Matokeo ya Ligi kuu ya Uingereza 11/11/2012

Pichani ni Luis Suarez aliyesawazisha bao dakika ya 73 dhidi ya Chelsea na kuzifanya Chelsea na Liverpool kutoshana nguvu kwa kufungana goli 1 - 1 matokeo yaliyoishusha Chelsea mpaka nafasi ya tatu ya msimamo wa Ligi hiyo.bao la Chelsea lilifungwa na John Terry dk20.

Man City                   2 - 1           Tottenham
Sergio Aguero 65                         Steven Caulker 21
Edin Dzeko 88

Newcastle                 0 - 1         West Ham Utd
                                                   Kevin Nolan 37

No comments:

Post a Comment