Pichani ni Luis Suarez aliyesawazisha bao dakika ya 73 dhidi ya Chelsea na kuzifanya Chelsea na Liverpool kutoshana nguvu kwa kufungana goli 1 - 1 matokeo yaliyoishusha Chelsea mpaka nafasi ya tatu ya msimamo wa Ligi hiyo.bao la Chelsea lilifungwa na John Terry dk20.
Man City 2 - 1 Tottenham
Sergio Aguero 65 Steven Caulker 21
Edin Dzeko 88
Newcastle 0 - 1 West Ham Utd
Kevin Nolan 37
No comments:
Post a Comment