Sunday, November 11, 2012

Matokeo Ligi kuu ya Italia(Serie A)

Atalanta wakiwa nyumbani walimaliza mfululizo wa ushindi kwa Inter Milan baada ya kuifunga magoli 3 - 2.

Katika viwanja vingine:
Cagliari       0 - 0       Catania
Chievo        2 - 2       Udinese
Genoa         2 - 4       Napoli
Lazio           3 - 2       Roma
Milan           1 - 3       Fiorentina
Palermo       2 - 0       Sampdoria
Parma          0 - 0       Siena
Pescara        1 - 6       Juventus
Torino          1 - 0       Bologna

Juventus wanaongoza ligi kwa tofauti ya pointi nne.Inter Milan wiki iliyopita waliiharibia Juventus rekodi ambapo walikuwa wanatafuta rekodi ya kucheza mechi 50 za mashindano bila kupoteza mchezo.Ligi hii inazidi kuwa tamu!

No comments:

Post a Comment