Monday, November 12, 2012

Djokovic amshinda Federer kwenye fainali za ATP World Tour

Habari kubwa katika ulimwengu wa michezo toka jana ni ushindi wa Novak Djokovic dhidi ya Roger Federer katika fainali iliyokuwa imejaa upinzani wa hali ya juu.
Kwa wale wajuzi wa Tennis haya ni mashindano ya ndani (Indoor) na unapoona mtu kashinda kwa pointi 7-6,7-5 unjua kwamba mechi ilikuwa ngumu.

 Djokovic akiwa amebeba kombe lake la fainali za ubingwa wa dunia za ATP.



Hapa ni baada ya kushinda point ya mwisho iliyomaliza mpambano mkali kati ya wababe hao


No comments:

Post a Comment