Habari kubwa katika ulimwengu wa michezo toka jana ni ushindi wa Novak Djokovic dhidi ya Roger Federer katika fainali iliyokuwa imejaa upinzani wa hali ya juu.
Kwa wale wajuzi wa Tennis haya ni mashindano ya ndani (Indoor) na unapoona mtu kashinda kwa pointi 7-6,7-5 unjua kwamba mechi ilikuwa ngumu.
Djokovic akiwa amebeba kombe lake la fainali za ubingwa wa dunia za ATP.
Hapa ni baada ya kushinda point ya mwisho iliyomaliza mpambano mkali kati ya wababe hao
Monday, November 12, 2012
Sunday, November 11, 2012
Matokeo ya Ligi kuu ya Hispania(La Liga)-Matchday 11
Real Betis 1 -2 Granada
Rayo Vallecano 3 - 2 R.C. Celta
Espanyol 0 -3 Osasuna
Zaragoza 5 -3 Deportivo
Malaga 1 - 2 Real Sociedad
Valladolid 1 - 1 Valencia
AC Bilbao 2 - 1 Sevilla
Mallorca 2 - 4 Barcelona
Atletico Madrid 2 - 0 Getafe
Levante 1 - 2 Real Madrid
Mou:My team is commited,ambitous and with a desire to win and to improve.
Rayo Vallecano 3 - 2 R.C. Celta
Espanyol 0 -3 Osasuna
Zaragoza 5 -3 Deportivo
Malaga 1 - 2 Real Sociedad
Valladolid 1 - 1 Valencia
AC Bilbao 2 - 1 Sevilla
Mallorca 2 - 4 Barcelona
Atletico Madrid 2 - 0 Getafe
Levante 1 - 2 Real Madrid
Mou:My team is commited,ambitous and with a desire to win and to improve.
Matokeo Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga)
Ijumaa 09/11/12
Mainz 2 - 1 Nurnberg
Jumamosi 10/11/12
Bayern 2 - 0 Frankfurt
Schalke 04 2 - 1 Bremen
Freiburg 0 - 0 Hamburg
Augsburg 1 - 3 Dortmund
Dusseldorf 1 - 1 Hoffenheim
Jumapili 11/11/12
Wolfsburg 3 -1 Leverkusen
Stuttgart 2 - 4 Hannover
Greuther Furth 2 -4 M'gladbach
Kiungo mchezeshaji wa Wolfsburg akishangilia goli.Alikuwa siri ya mafanikio yao jana walipoifunga Leverkusen.
Mainz 2 - 1 Nurnberg
Jumamosi 10/11/12
Bayern 2 - 0 Frankfurt
Schalke 04 2 - 1 Bremen
Freiburg 0 - 0 Hamburg
Augsburg 1 - 3 Dortmund
Dusseldorf 1 - 1 Hoffenheim
Jumapili 11/11/12
Wolfsburg 3 -1 Leverkusen
Stuttgart 2 - 4 Hannover
Greuther Furth 2 -4 M'gladbach
Kiungo mchezeshaji wa Wolfsburg akishangilia goli.Alikuwa siri ya mafanikio yao jana walipoifunga Leverkusen.
Matokeo Ligi kuu ya Italia(Serie A)
Atalanta wakiwa nyumbani walimaliza mfululizo wa ushindi kwa Inter Milan baada ya kuifunga magoli 3 - 2.
Katika viwanja vingine:
Cagliari 0 - 0 Catania
Chievo 2 - 2 Udinese
Genoa 2 - 4 Napoli
Lazio 3 - 2 Roma
Milan 1 - 3 Fiorentina
Palermo 2 - 0 Sampdoria
Parma 0 - 0 Siena
Pescara 1 - 6 Juventus
Torino 1 - 0 Bologna
Juventus wanaongoza ligi kwa tofauti ya pointi nne.Inter Milan wiki iliyopita waliiharibia Juventus rekodi ambapo walikuwa wanatafuta rekodi ya kucheza mechi 50 za mashindano bila kupoteza mchezo.Ligi hii inazidi kuwa tamu!
Katika viwanja vingine:
Cagliari 0 - 0 Catania
Chievo 2 - 2 Udinese
Genoa 2 - 4 Napoli
Lazio 3 - 2 Roma
Milan 1 - 3 Fiorentina
Palermo 2 - 0 Sampdoria
Parma 0 - 0 Siena
Pescara 1 - 6 Juventus
Torino 1 - 0 Bologna
Juventus wanaongoza ligi kwa tofauti ya pointi nne.Inter Milan wiki iliyopita waliiharibia Juventus rekodi ambapo walikuwa wanatafuta rekodi ya kucheza mechi 50 za mashindano bila kupoteza mchezo.Ligi hii inazidi kuwa tamu!
Matokeo ya Ligi kuu ya Uingereza 11/11/2012
Pichani ni Luis Suarez aliyesawazisha bao dakika ya 73 dhidi ya Chelsea na kuzifanya Chelsea na Liverpool kutoshana nguvu kwa kufungana goli 1 - 1 matokeo yaliyoishusha Chelsea mpaka nafasi ya tatu ya msimamo wa Ligi hiyo.bao la Chelsea lilifungwa na John Terry dk20.
Man City 2 - 1 Tottenham
Sergio Aguero 65 Steven Caulker 21
Edin Dzeko 88
Newcastle 0 - 1 West Ham Utd
Kevin Nolan 37
Man City 2 - 1 Tottenham
Sergio Aguero 65 Steven Caulker 21
Edin Dzeko 88
Newcastle 0 - 1 West Ham Utd
Kevin Nolan 37
Saturday, November 10, 2012
Matokeo ya Ligi kuu Uingereza(EPL)-Matchday 11
Arsenal 3 - 3 Fulham
Giroud 11 , 69 Berbatov 29,67 pen
Podolski 23 Kacaniklic 40
Everton 2 - 1 Sunderland
Fellaini 76 Johnson 45+1
Jelavic 79
Reading 0 - 0 Norwich
Southampton 1 - 1 Swansea
Schneiderlin 64 Nathan Dyer 73
Stoke 1 - 0 QPR
Charlie Adam 52
Wigan 1 - 2 West Brom
Arouna Kone 44 James Morrison 31
Gary Caldwell 43(og)
Aston Villa 2 -3 Man Utd
Andreas Weimann 45+1 Chicharito 58,87
50 Ron Vlaar 63(og)
Giroud 11 , 69 Berbatov 29,67 pen
Podolski 23 Kacaniklic 40
Everton 2 - 1 Sunderland
Fellaini 76 Johnson 45+1
Jelavic 79
Reading 0 - 0 Norwich
Southampton 1 - 1 Swansea
Schneiderlin 64 Nathan Dyer 73
Stoke 1 - 0 QPR
Charlie Adam 52
Wigan 1 - 2 West Brom
Arouna Kone 44 James Morrison 31
Gary Caldwell 43(og)
Aston Villa 2 -3 Man Utd
Andreas Weimann 45+1 Chicharito 58,87
50 Ron Vlaar 63(og)
Friday, November 9, 2012
Ratiba Ligi Kuu ya Hispania
Baada ya mchezo wa jana usiku kati ya Real Betis na Granada (Matokeo 1 - 2) mechi zingine weekend hii Hispania kwenye La Liga zinahusisha:
Jumamosi 10/11/2012
Saa 1 usiku Rayo Vallecano vs R.C. Celta
Saa 3 usiku Espanyol vs Osasuna
Saa 5 usiku Zaragoza vs Deportivo
Saa 7 usiku Malaga vs Real Sociedad
Jumapili 11/11/2012
Saa 9 mchana Valladolid vs Valencia
Saa 1 usiku A.C. Bilbao vs Sevilla
Saa 2:50 usiku Mallorca vs Barcelona
Saa 4:45 usiku Atletco Madrid vs Getafe
Saa 6:30 usiku Levante vs Real Madrid
Jumamosi 10/11/2012
Saa 1 usiku Rayo Vallecano vs R.C. Celta
Saa 3 usiku Espanyol vs Osasuna
Saa 5 usiku Zaragoza vs Deportivo
Saa 7 usiku Malaga vs Real Sociedad
Jumapili 11/11/2012
Saa 9 mchana Valladolid vs Valencia
Saa 1 usiku A.C. Bilbao vs Sevilla
Saa 2:50 usiku Mallorca vs Barcelona
Saa 4:45 usiku Atletco Madrid vs Getafe
Saa 6:30 usiku Levante vs Real Madrid
Ratiba Ligi Kuu ya Uingereza weekend hii
Jumamosi 10/11/2012
11 jioni Arsenal vs Fulham
- Everton vs Sunderland
- Reading vs Norwich
- Southampton vs Swansea
- Stoke vs QPR
- Wigan vs West Brom
1:30 usiku Aston Villa vs Man Utd
Jumapili 11/ 11/2012
9:30 mchana Man City vs Tottenham
11:00 jioni Newcastle vs West Ham Utd
12:00Jioni Chelsea vs Liverpool
11 jioni Arsenal vs Fulham
- Everton vs Sunderland
- Reading vs Norwich
- Southampton vs Swansea
- Stoke vs QPR
- Wigan vs West Brom
1:30 usiku Aston Villa vs Man Utd
Jumapili 11/ 11/2012
9:30 mchana Man City vs Tottenham
11:00 jioni Newcastle vs West Ham Utd
12:00Jioni Chelsea vs Liverpool
Sunday, November 4, 2012
Matokeo Ligi ya Hispania (La Liga)-Matchday 10
Diego Pablo Simeone kocha waliokuwa vinara wa ligi ya Uhispania kwa kulingana pointi na Barcelona.Weekend hii wamepigwa na Valencia inayotafuta pointi kwa nguvu zote.
Malaga 1 - 2 Rayo Vallecano
FC Barcelona 3 - 1 R.C Celta
Real Madrid 4 - 0 Zaragoza
Valencia 2 - 0 Atletico Madrid
Real Sociedad 0 - 1 Espanyol
Deportivo 1 - 0 Mallorca
Osasuna 0 - 1 Valladolid
Granada 1 - 2 Athletic Club
Sevilla 0 - 0 Levante
Imebaki mechi moja tu takayochezwa usiku wa leo kati ya
Getafe vs Real Betis
Malaga 1 - 2 Rayo Vallecano
FC Barcelona 3 - 1 R.C Celta
Real Madrid 4 - 0 Zaragoza
Valencia 2 - 0 Atletico Madrid
Real Sociedad 0 - 1 Espanyol
Deportivo 1 - 0 Mallorca
Osasuna 0 - 1 Valladolid
Granada 1 - 2 Athletic Club
Sevilla 0 - 0 Levante
Imebaki mechi moja tu takayochezwa usiku wa leo kati ya
Getafe vs Real Betis
Matokeo Ligi Kuu Ujerumani (Bundesliga)-Matchday 10
Ijumaa 02/11/2012
E.Frankfurt 1 - 1 Greuther Furth
Jumamosi 03/11/2012
Dortmund 0 - 0 Stuttgart
M'gladbach 1 - 1 Freiburg
Hannover 2 - 0 Augsburg
Nurnberg 1 - 0 Wolfsburg
Hoffenheim 3 - 2 Schalke 04
Hamburg 0 - 3 FC Bayern
Jumapili 03/11/2012
Leverkusen 3 - 2 Dusseldorf
Bremen 2 - 1 Mainz
E.Frankfurt 1 - 1 Greuther Furth
Jumamosi 03/11/2012
Dortmund 0 - 0 Stuttgart
M'gladbach 1 - 1 Freiburg
Hannover 2 - 0 Augsburg
Nurnberg 1 - 0 Wolfsburg
Hoffenheim 3 - 2 Schalke 04
Hamburg 0 - 3 FC Bayern
Jumapili 03/11/2012
Leverkusen 3 - 2 Dusseldorf
Bremen 2 - 1 Mainz
Matokeo Ligi kuu Uingereza-Matchday 10
Jumamosi 03/11/2012
West Ham 0 - 0 Man City
Fulham 2 - 2 Everton
Norwich 1 - 0 Stoke
Sunderland 0 - 1 Aston Villa
Swansea 1 - 1 Chelsea
Tottenham 0 - 1 Wigan
Man Utd 2 - 1 Arsenal
Jumapili 04/11/2012
Liverpool 1 - 1 Newcastle
QPR 1 - 1 Reading
West Ham 0 - 0 Man City
Fulham 2 - 2 Everton
Norwich 1 - 0 Stoke
Sunderland 0 - 1 Aston Villa
Swansea 1 - 1 Chelsea
Tottenham 0 - 1 Wigan
Man Utd 2 - 1 Arsenal
Jumapili 04/11/2012
Liverpool 1 - 1 Newcastle
QPR 1 - 1 Reading
Subscribe to:
Posts (Atom)